Most searched:

Atabatu Tukufu Ya Alawiyya Yawapongeza Shakhsia za Kidini na Kijamii katika Lahore, Pakistan

Ujumbe uliotumwa na Atabatu Tukufu Alawiyya uliwapongeza baadhi ya shakhsia wa mji wa Lahore nchini Pakistan kwa munasaba wa Wiki ya Swaadiqain.

Ujumbe wa Atabatu Tukufu Alawiyya nchini Pakistan uliwapongeza na kuwashukuru baadhi ya shakhsia za kidini, rasmi na kijamii kutoka madhehebu mbalimbali ambao walichangia kufanikisha mipango ya “Wiki ya Kimataifa ya Swaadiqain”.

Mpango huu ulifanyika katika mji wa Lahore, makao makuu ya jimbo la Punjab, kwa lengo la kuadhimisha kuzaliwa kwa Mtume Mtukufu wa Uislamu (rehema na amani za Allah ziwe juu yake na Aali zake) na mjukuu wake, Imam Ja’far al-Swaadiq (amani iwe juu yake).

Yaliyomo zaidi

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *