Amirul Muuminina (amani iwe juu yake) anasema:
“Unyonge na kushindwa ni janga, na subira ni ushujaa, na zuhudi na kutojali dunia ni utajiri, na ucha Mungu na taqwa ni ngao na chombo cha ulinzi kwa mwanadamu, na kuridhika na makadirio ya Mungu ni mshirika mwema.”
Chanzo
Hekima ya nne kutoka Nahjul Balagha